Thursday, July 5, 2018

Producer Aliyetengeneza Wimbo wa Diamond na Omarion ‘African Beauty’

Producer Aliyetengeneza Wimbo wa Diamond na Omarion ‘African Beauty’


African Beauty ni mmoja kati ya ngoma ambayo inapatikana kwenye albamu mpya ya Diamond Platnumz, A Boy From Tandale

Mashabiki wamekuwa wakifurahia ngoma hiyo lakini wengi wao hawamfahamu mtayarishaji wake.

Ngoma hiyo imetayarishwa na producer Chris Alvin Sunday maarufu ka jina la Krizbeatz kutoka nchini Nigeria.

Krizbeatz siyo jina geni kwa watu ambao wanafuatilia muziki wa Nigeria, tayari ameshawahi kutengeneza hits kibao kama �Pana� na �Diana� zote za Tekno, �Weekend Vibes� ya Seyi Shay na nyingine.
Chanzo: Bongo 5 
PAKUA BURE VIPINDI VYETU VYA REDIO HAPA>>> DOWNLOAD MP3


go to link download

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.